Karibu Takajua — mahali pa hadithi zinazogusa moyo. Hapa, wanyama huzungumza, miti hulia, na kila hadithi huacha funzo la maisha. Karibu usome, ujifunze, na uote pamoja nasi.
Lakini siku moja jambo la ajabu lilitokea. "Mh! Mbona hakuna hata embe moja?" aliuliza Amina huku akitazama juu…
Wale wanyama watatu wakanyamaza kwa muda. Hawakuwa wamefikiria kwamba kiumbe mwingine alikuwa akiishi ndani ya tunda lile. Mbuni…
Lakini… mamba hakuwa na mabawa. Alianza kuanguka huku akipiga mayowe, mikono ikipiga hewa bure. “Naanguka! Naanguka!” alipiga kelele.
“Tucheze kwa haki,” alisema Kapteni wa Timu Punda. “Ndiyo, mshindi apatikane kwa juhudi,” akajibu Kapteni wa Timu Tumbili.…
Kwa mshangao mkubwa wa ng’ombe, nzige hawakuwa wachache. Walikuja kwa wingi kama siafu, wakavamia ghala na kuanza kula…
Tazama video kwenye YouTube
Jiunge na wasomaji 1.15K — @takajua