Ngamia asakata rumba uwanjani

Wengine walihema na kuangamia uwanjani kutokana na ukosefu wa maji na joto kali. Ngamia walionekana kama kuwa na miili yenye kuzuia makali ya jua. Mabao yalifungwa mengi huku wapinzani wao wakilalamika mazingira ya mchanga na upepo mkali.

Ngamia wamekuwa kwenye fomu nzuri zaidi msimu huu. Wakiwa hawajapoteza hata gemu moja mfululizo katika gemu zao .