Hadi leo maji baharini imejaa takataka ili samaki wampatie machozi.
Endelea kusomaSIKU MOJA
Supu moto yamtia flamingo woga wa maji
Samaki na flamingo walipenda sana kuogelea ziwani. Kwa sababu hii wakawa marafiki. Kila walipokutana katika ziwa majisafi flamingo alimpa samaki uhondo za kule alikokuwa na
Endelea kusomaWatu kuvutiwa na ngoma ya chui
Wanyama walitoka mbali ili wapate kusikia ngoma. Hadithi za porini zilisikika katika hiyo ngoma. Kila mnyama alishangaa kusikia habari na matukio ya porini na kufanya
Endelea kusomaGarindege apotea njia baada ya kumtoroka ndege
“Mimi ni bora zaidi kuliko wewe,” Garindege akajionyesha kwa magari mengine. “Kweli wewe uko sawa” lile gari kuukuu jeupe likakubali. “Wewe ni mrembo na umeendelea
Endelea kusomaMazingira yetu tunamoishi
Ulimwengu unahitaji upendo kwa kutunza mazingira yetu nzuri. Katika kitabu hiki kipya cha picha ambacho kinaangazia umuhimu wa miti katika maisha ya watoto hawa watatu.
Endelea kusomaWimbo wa Nyangumi wamtoa ndege machozi
Hapo zamani za kale ndege na nyangumi walipendana sana kama chanda na pete. Ndege alipenda vile nyangumi alivyocheza na maji. Alipenda jinsi alivyokuwa akiogelea kwenye
Endelea kusomaURAFIKI wa mwewe na kuku
Hapo zamani za kale mwewe walikuwa marafiki na kuku. Wote wawili walikuwa karibu sana hivi kwamba waliamua kujenga nyumba karibu na kila mwenzake. Mwewe alijenga
Endelea kusoma